Page 10 - seven (1)
P. 10

Sehemu/ Mambo muhimu ya kuzingatia


                   1.  Anwani moja ya mwandishi- upande wa kulia juu.
                   2.  Kianzio – kwa nani?

                   3.  Utangulizi – kujuliana hali.
                   4.  Mwili – kiini au sababu ya kauandika barua yako. Hoja zisiwe chini ya
                       hoja sita kuu.

                   5.  Tamati/ Hitimisho – maagano, kuomba barua ya majibu, tuma salamu,
                       mtakie kheri,.

                   6.  Wasaalam – wako wa jua na mvua…… ushauri. Usitumie wako
                       mwaminifu au mtiifu.


               Swali:

               Mwandikie rafiki yako barua ukimwelezea namna ya kutumia likizo yake ili

               kujinufaisha.




















































                                                                    Idara ya Kiswahili Tender Care Junior Academy
   5   6   7   8   9   10   11