Page 6 - seven (1)
P. 6

4.  Maria amekutananamwalimu wake.

                       Chaguasalamuatakazotumiakumsabahi. (alamsiki, shikamoo, niaje,
                       hujambo)
                       Tumialugha ya adabunaheshimabadala ya iliyotumika.

                   5.  Endachoo –
                   6.  Dadanguamaezaa –
                   7.  Mzee yule wa kijijiamekufa-

                   8.  Ukilavyakulavichafuutaendeshamno-
                   9.  Tamko la kuombanjia ni__________
                   10. “Hewala” ni tamkoamabalohuonyesha  __ na jambo. (kusifia,
                       kukubaliana, kukataa. Kushangaa)




                       Misemo
                       Hayanimanenoyanayotumiwakimafumboilikuelezeajambo Fulani

                       bilahasakuzingatiamaanahalisi ya manenoyaliyotumiwa.

                       Zoezi

                       Andikamaana ya semi zifuatazo:
                   1.  Chana mbuga
                   2.  Tiwambaroni

                   3.  Uma kidole
                   4.  Kula mwata
                   5.  Kula mwande



               KIPINDI CHA PILI: KUSOMA -

               Rejeleakitabu cha TRAIL BLAZER kufanyazoezi la leo:

               Kitabu : TRAIL BALZER ENCYCLOPAEDIA


               Ukurasa: 476 -477

               Ufahamuwa kwanza: maswali 31 hadi 40




               JUMA LA PILI

               KIPINDI CHA KWANZA: SARUFI

               Kivumishi cha a-unganifu




                                                                    Idara ya Kiswahili Tender Care Junior Academy
   1   2   3   4   5   6   7   8   9   10   11