Page 7 - seven (1)
P. 7
Mfano: kitichamwanafunzi.
Mlangowa darasa.
Zoezi
1. Moto ……. Kuni
2. Migodi____ dhahabu.
3. Maskanini …… wazaziwangu.
4. Wino ….mwalimu.
5. Huruma ….. mama.
Kivumishikimilikishi
1. Kofia____ imeanguka. (-ake)
2. Rununu ___ hunipendeza. (-ao)
3. Moyo _____ unauma. ( -angu)
4. Fizi ___ zinauma. (-enu)
5. Usafi __unafurahisha. (-ako)
Kosoasentensihizikwakutumiaamba-
Mfano: Kalamuyenyeinaandika – Kalamuamabyoinaandika.
1. Mahalipenyepanalimwa.
2. Vitabuvyenyevinaandikwa.
3. Majiyeneyyanamwagika.
4. Ujiwenyeunanywewa.
5. Chakulachenyekinaliwa.
6. Kituchenyeunakipenda.
7. Semavyenyeunataka.
8. Mwenyeananiita.
9. Motto mwenye Analia.
10. Mitiyenyeinapandwa.
KIPINDI CHA PILI: MSAMIATI
Msamiati
Malipo
1. Malipo kwa hasara anayopata mtu huitwa____.
2. Ridhaa ni malipo ya kumharibia mtu __( bidhaa, jina, mali, nyumba)
Idara ya Kiswahili Tender Care Junior Academy

