Page 8 - seven (1)
P. 8

3.  Pesa za kuanzisha biashara huitwa____.

                   4.  Karo ni kwa shule kama vile nauli ni kwa ____. (usafiri, gari, shambani)
                   5.  Kila baada ya mwezi, mwalimu wetu hupokea ____mkubwa.


               Mapambo

               Je, mapambo haya huvaliwa wapi?


                   1.  Furungu
                   2.  Kikuku

                   3.  Kibanio
                   4.  Mshipi
                   5.  Mapete

                   6.  Kishaufu
                   7.  Kidani


               Nomino za jamii

               Pia huitwa nomino za makundi.


               Mifano:

                   1.  Thurea ya nyota
                   2.  Chane ya ndizi

                   3.  Tone la maji.
                   4.  Shada la maua.


               Zoezi:

                   1.  Katika sherehe ya mahafali, kila mtu alikuwa na ___ la maua shingoni.

                   2.  Mchajakuni ameuza tita la __ kwa bei ya juu mno.
                   3.  Mwanafunzi anatakiwa kuyabukua ___ya vitabu,

                   4.  Naomba walau ___la maji. Kiu inaniangamiza.
                   5.  Shungi ni kwa nywele kama vile kishazi ni kwa ____

                   6.  Kamilisha: Genge la vibarua au_______

               JUMA LA TATU


               KIPINDI CHA KWANZA: KUANDIKA

               KUANDIKA:


               INSHA YA MASIMULIZI




                                                                    Idara ya Kiswahili Tender Care Junior Academy
   3   4   5   6   7   8   9   10   11